1CH_Kiswahili_1068.pdf

(293 KB) Pobierz
1 MAMBO YA NYAKATI
Utangulizi
Jina hili la kitabu “Mambo ya Nyakati ” linaweza likafuatiliwa mpaka kwa Yerome ambaye ndiye aliyelitumia
kwa ajili ya kitabu hiki katika tafsiri ya Kilatini ya Vulgate. Jina la kitabu hiki katika Kiyunani “Mambo Yaliyorukwa” ,
linaonyesha ile hali ya watafsiri wa Agano la Kale katika Septuagint kwamba vitabu hivi kimsingi yalikuwa mambo
ya nyongeza kuhusu mambo ya dhabihu yaliyokuwa yameachwa na vitabu vya Samweli na Wafalme.
Ingawaje vitabu vya Mambo ya Nyakati vinaelekea kurudia yaliyomo katika Samweli na Wafalme,haina
maana vinarudia mambo yale yale. Mambo ya Nyakati viliandikwa kwa ajili ya wale waliorudi Israeli kutoka
uhamishoni baada ya kutekwa na kupelekwa Babeli ili kuwakumbusha kwamba walikuwa wa ukoo wa kifalme wa
Daudi na ya kwamba, wao walikuwa watu wateule wa Mungu.
Wazo Kuu
Wazo kubwa ni kwamba, daima Mungu ni mwaminifu katika agano Lake. Kwa sababu hizi (Mambo ya
Nyakati) kinaanza na kuelezea kwa ufupi habari tangu Adamu mpaka kifo cha Mfalme Sauli. Sehemu ya kitabu
iliyobaki inaelezea habari za Mfalme Daudi. Vitabu hivi vinachukua nafasi ya kuwaonya na pia kuwatia moyo
Wayahudi kuwa waaminifu kwa agano lao na BWANA.
1Mambo ya Nyakati kinaenda sambamba na 2Samweli na kinatoa ufafanuzi wake. Kitabu hiki kinakazia
habari za kiroho za Yuda na Israeli.
Wahusika Wakuu
Daudi na Solomoni.
Mahali
Hebroni na Yerusalemu,
Mwandishi
Ezra, kulingana na mapokeo ya Kiyahudi.
Tarehe
1279 – 461 K.K.
Mgawanyo
Orodha ya Vizazi (1:1-9:44)
Utawala wa Daudi (10:1-29:30)
1
1 MAMBO YA NYAKATI
Kumbukumbu ya Historia Kuanzia Adamu
hadi Abrahamu
20 Wana wa Yoktani walikuwa:
Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla, 22 Obali, Abimaeli,
Adamu Hadi Wana Wa Noa
Adamu, Sethi, Enoshi, Kenani,
2 Mahalaleli, Yaredi, 3 Yaredi, Henoko,
Methusela, Lameki, Noa.
Sheba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote
1
hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi,
Shela,
4 Wana wa Noa:
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Shemu, Hamu na Yafethi.
26 Serugi, Nahori, Tera,
27 Tera akamzaa Abramu, yaani, Abrahamu.
Wana Wa Yafethi
5 Wana wa Yafethi
Jamaa ya Abrahamu
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili:
walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai,
Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Isaki na Ishmaeli.
6 Wana wa Gomeri walikuwa:
Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Wazao wa Hagari
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:
7 Wana wa Yavani walikuwa:
Elisha, Tarshishi, Kitimu na
Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli,
Warodanimu.
Kedari, Adbeeli, Mibsamu, 30 Mishma Duma,
Masa, Hadadi, Tema, 31 Yeturi, Nafishi na
Wana wa Hamu
8 Wana wa Hamu walikuwa:
Kushi, Misraimu a , Puti na Kanaani.
9 Wana wa Kushi walikuwa:
Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.
Wana wa Raama walikuwa:
Sheba na Dedani.
10 Kushi alimzaa
Nimrodi aliyekuwa mtu shujaa katika nchi.
11 Misraimu akawazaa,
Waludi, Waanamu, Walehabi,
Wanaftuhi, 12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao
ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Wana wa Kanaani walikuwa
Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Wazao wa Ketura
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa
Abrahamu walikuwa:
Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki
na Shua.
Wana wa Yokshani walikuwa:
Sheba na Dedani.
33 Wana wa Midiani walikuwa:
Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa.
Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Wazao wa Sara
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.
Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza na Hethi,
14 Wayebusi,
Waamori,
Wagirgashi,
Esau na Israeli walikuwa wana wa Isaki.
15 Wahivi, Waariki, Wasini, 16 Waarvadi,
Wasemari na Wahamathi.
Wana wa Esau
35 Wana wa Esau walikuwa:
Elifazi, Rehueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Wana wa Elifazi walikuwa:
Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi,
Esau kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Wana wa Rehueli walikuwa:
Wana wa Shemu
17 Wana wa Shemu walikuwa:
Elamu, Ashuri, Arfaksadi, Ludi na Aramu,
Wana wa Aramu walikuwa:
Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arfaksadi akamzaa Shela,
Shela akamzaa Eberi.
19 Eberi alikuwa na wana wawili:
Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Watu wa Seiri Walikuwa Edomu
38 Wana wa Seiri walikuwa:
Mmoja wao aliitwa Pelegi b kwa sababu ni
katika wakati wake dunia iligawanyika,
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri
ndugu yake aliitwa Yoktani.
na Dishani.
a 8 “Misraimu” ndiyo “Misri.’’
b 19 “Pelegi” hapa maana yake “gawanyika.’’
2
952102687.005.png 952102687.006.png 952102687.007.png
1 MAMBO YA NYAKATI
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili:
Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada
yake aliyeitwa Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa:
Alvani c , Manahathi, Ebali, Shefi na Onamu.
Wana wa Sibeoni walikuwa:
Aya na Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa:
Dishoni.
Nao wana wa Dishoni walikuwa:
Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Wana wa Eseri walikuwa:
Bilhani, Zaawani na Akani.
Wana wa Dishani walikuwa:
Wana wa Israeli
Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:
Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari,
Zabuloni, 2 Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali,
Gadi na Asheri.
2
Yuda hadi Wana wa Hesroni
3 Wana wa Yuda waliozaliwa kwake na mkewe
Mkanaani, binti wa Shua walikuwa:
Eri, Onani na Shela. Eri, mzaliwa wa
kwanza wa Yuda alikuwa mwovu machoni
pa BWANA kwa hiyo BWANA alimwua.
4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana
wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na
jumla ya wana watano.
5 Wana wa Peresi ni:
Hesroni na Hamuli.
6 Wana wa Zera walikuwa:
Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Daido.
Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
7 Mwana wa Karmi, alikuwa:
Usi na Arani.
Watawala wa Edomu
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla
hajatawala mfalme ye yote wa Waisraeli:
Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni
Dinhaba.
44 Bela alipofariki,
Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra
akaingia mahali pake kama mfalme.
45 Yobabu alipofariki,
Hushamu kutoka nchi ya Watemani akaingia
mahali pake kama mfalme.
46 Hushamu alipofariki,
Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda
Midiani katika nchi ya Moabu, akaingia
mahali pake kama mfalme, mji wake uliitwa
Avithi.
47 Hadadi alipofariki,
Samla kutoka Masreka akaingia mahali
pake kama mfalme.
48 Samla alipofariki,
Shauli kutoka Rehobothi ulio karibu na Mto
Eufrati, akaingia mahali pake kama mfalme.
49 Shauli alipofariki,
Baal-Hanani mwana wa Akbori akaingia
mahali pake kama mfalme.
50 Baali-Hanani alipofariki,
Akari a , ambaye alileta taabu kwa Waisraeli
kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu
ambavyo
vilikuwa
vimewekwa
wakfu.
8 Mwana wa Ethani alikuwa, Azariya. 9 Wana
wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na
Kalebu.
Kuanzia Ramu mwana wa Hesroni
10 Ramu alimzaa
Aminadabu na Aminadabu akamzaa
Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.
11 Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni
akamzaa Boazi, 12 Boazi akamzaa Obedi,
Obedi akamzaa Yese.
13 Yese akawazaa
Eliabu mwanawe wa kwanza, wa pili
Abinadabu, wa tatu Shime a b ,
14 wa nne
Nethaneli, wa tano Radai, 15 wa sita Osemu
na wa saba Daudi. 16 Dada zao walikuwa
Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya
Hadadi akaingia mahali pake kama mfalme.
walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na saheli.
Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa
17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa
Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
ambaye baba yake alikuwa Yetheri,
51 Naye Hadadi pia akafa.
Mwishmaeli.
Wakuu wa Edomu walikuwa:
7 “Akari’’ maana yake “taabisha,’’ ambaye anaitwa Akani katika
Kitabu cha Yoshua 6:1-26; 22:20
13 “Shimei’’ au “Shima’’ ndiye mwana wa tatu wa Yese, yaani
Shama katika 1Sam 16:9; 17:13. Hii inawezekana jina lake
lilibadilishwa kutoka Shama, yaani, “Fanya ukiwa’’ kuwa
Shimea, yaani, “Sifa njema.’’
Timna, Alva, Yetheli, 52 Oholibama, Ula,
Pinoni,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa
makabila ya Edomu.
c 40 “Alavani” maandishi mengine ya Kiebrania yanamwita “Zefi.’’
3
952102687.008.png 952102687.001.png 952102687.002.png
 
1 MAMBO YA NYAKATI
Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.
35 Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake
Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake
Atai.
36 Atai akamzaa Nathani,
Nathani akamzaa Zabadi,
37 Zabadi akamzaa Eflali,
Eflali akamzaa Obedi,
38 Obedi akamzaa Yehu,
Yehu akamzaa Helesi, Helesi akamzaa Eleasa,
Kalebu Mwana wa Hesroni
18 Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana
na mkewe Azuba na Yeriothi. Hawa ndio
wana Azuba aliomzalia Kalebu:
Yesheri, Shobabu na Ardoni. 19 Azuba
alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi,
ambaye alimzalia Huri. 20 Huri akamzaa Uri,
Uri akamzaa Bezaleli.
21 Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti
wa Makiri babaye Gileadi, ambaye alimwoa
40 Eleasa akamzaa Sismai,
alipokuwa na umri wa miaka sitini, naye
Sismai akamzaa Shalumu,
akamzaa Segubu. 22 Segubu akamzaa Yairi,
41 Shalumu akamzaa Yekamia,
ambaye alitawala miji ishirini na mitatu
naye Yekamia akamzaa Elishama.
katika Gileadi. 23 Lakini Geshuri na Aramu
wakateka miji ya Hayothi-Yairi pamoja na
Koo za Kalebu
42 Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli
walikuwa:
Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa
Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa
Hebroni.
43 Hebroni alikuwa na wana wanne:
Kora, Tapua, Rekemu na Shema. 44 Shema
alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu
alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu
alikuwa baba wa Shamai. 45 Shamai
akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-
Suri.
46 Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani,
Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa
Gazezi.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu,
Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.
48 Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye
Kenathi na viunga vyake, jumla ilikuwa miji
sitini. Wote hawa walikuwa wazao wa
Makiri babaye Gileadi.
24 Baada ya Hesroni kufa huko Efratha, alikuja
mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye
baba wa Tekoa.
Yerameeli Mwana wa Hesroni
25 Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa
Hesroni walikuwa:
Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna,
Oreni, Osemu na Ahiya. 26 Yerameeli
alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara,
aliyekuwa mama yake Onamu.
27 Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa
Yerameeli, walikuwa:
Maasi, Yamini na Ekeri.
28 Wana wa Onamu walikuwa:
Shamai na Yada.
Wana wa Shamai walikuwa:
Nadabu na Abishuri.
29 Mke wa Abishuri aliitwa Abihali,
ambaye alimzalia Abani na Molidi.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu,
Lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.
31 Apaimu akamzaa
Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani.
Sheshani akamzaa Alai.
32 Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:
Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila
kuzaa watoto.
33 Wana wa Yonathani walikuwa:
Sheberi na Tirhana. 49 Pia Maaka akamzaa
Shaafu babaye Madmana na Shevu babaye
Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti
jina lake Aksa.
50 Hawa ndio waliokuwa
wazao wa Kalebu.
Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efratha
walikuwa:
Shobali akamzaa Kiriath-yearimu, 51 Salma
akamzaa
Bethlehemu,
naye
Herefu
akamzaa Bethi-Gaderi.
52 Wazao wa Shobali baba yake Kiriath-Yearimu
walikuwa:
Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa
Menuhothi, 53 pamoja na koo za Kiriath-
Yearimu ambazo ni: Waithri, Waputhi,
Washumathi na Wamishrai. Kutokana na
watu hawa walizaliwa Wasorathi na
Pelethi na Zaza.
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.
34 Sheshani hakuwa na wana, ila wasichana tu.
Waeshtaoli.
4
952102687.003.png
 
1 MAMBO YA NYAKATI
54 Wazao wa Salma walikuwa:
Bethlehemu, Mnetofathi, Waatrothi-Beth-
Yoabu, nusu ya Wamenahathi, Wasori,
55 pamoja na koo za waandishi zilizoishi
katika mji wa Yabesi: Watirathi,
Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio
Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa
nyumba ya Rekabu.
Wana wa Daudi
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi
waliozaliwa huko Hebroni:
Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amoni ambaye
mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli,
wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa
Abigaili wa Karmeli.
2 Wa tatu, alikuwa Absalomu, ambaye mama
yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa
Geshuri. Wa nne, Adoniya, ambaye mama
yake alikuwa Hagithi,
3 Wa tano, alikuwa Shefatia ambaye mama
yake alikuwa Abitali, wa sita alikuwa
Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako
Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi
sita.
Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka
thelathini na mitatu, 5 hawa ndio watoto wa
mfalme Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu:
wafalme ni:
Yekonia mwanaye na Sedekia.
Ukoo wa Kifalme Baada ya Uhamisho
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia
aliyekuwa mateka:
Shealtieli, 18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari,
Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 Wana wa Pedaya walikuwa:
Zerubabeli na Shimei.
Wana wa Zerubabeli walikuwa:
Meshulamu na Hanania, Shelomithi alikuwa
dada yao.
20 Pia walikuwepo wengine watano:
Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na
Yushab-Hesedi.
21 Wazao wa Hanania walikuwa
3
Pelatia na Yeshaya. Yeshaya akamzaa
Refaya, Refaya akamzaa Arnani, Arnani
akamzaa
Obadia,
Obadia
akamzaa
Shekania,
22 Wazao wa Shekania
Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria,
Nearia na Shafati, jumla yao walikuwa sita.
23 Wana wa Nearia walikuwa:
Elionenai, Hizkia na Azrikamu, jumla watatu.
24 Wana wa Elioenai walikuwa:
Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana,
Delaya na Anani, jumla yao wote saba.
mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia:
Shamua a , Shobabu, Nathani na Solomoni.
Koo Nyingine za Yuda
Wana wa Yuda walikuwa:
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibhari,
4
Elishua,
Elifeleti,
7 Noga, Nefegi, Yafai,
Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
Reaya mwana wa Shobali akamzaa
Yahathi, Yahathi akamzaa Ahumai na
Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za
Wasorathi.
3 Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu:
Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao
aliitwa Haselelponi. 4 Penueli akamzaa
Gedori na Ezeri, naye Ezeri akamzaa
Husha.
Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa
kwanza wa Efratha, baba yake Bethlehemu.
5 Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake
wawili; Hela na Naara.
6 Hawa walikuwa wazao wa Naara:
Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
7 Wana wa Hela walikuwa,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti, wote walikuwa
2
tisa. 9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi,
mbali na wale wana waliozaliwa na masuria.
Tamari alikuwa dada yao.
Wafalme wa Yuda
10 Wana wa Solomoni walikuwa Rehoboamu,
Abiya,
Yehoshafati, Asa,
11 Yehoramu, Ahazia, Yoashi,
12 Amazia, Azaria, Yothamu,
13 aliyemzaa Ahazi, Hezekia, Manase
14 Amoni na Yosia.
15 Wana wa Yosia walikuwa:
Yohana ni mzaliwa wake wa kwanza,
Yehoyakimu, mwanawe wa pili, wa tatu
Sedekia, wa nne Shalumu.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama
Serethi, Sohari, Ethnani, 8 na Kosi ambaye
aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za
Aharheli mwana wa Harumu.
a 5 “Shamua’’ hapa ni “Shimea’’ kwa Kiebrania.
5
952102687.004.png
 
Zgłoś jeśli naruszono regulamin